Posts

Showing posts with the label Mahusiano

📕TAMBUA HATUA KUU 5 ZA MAHUSIANO HADI NDOA💍🤵🏾‍♂️👰🏾

​ Ziko hatua 5️⃣ za kupitia unapoingia kwenye mahusiano hadi ndoa, na hatua hizi ni jambo la msingi sana kwanza kuzitambua na kisha kuzipitia. 👌🏾 Hatua hizi zisipofuatwa kwa ukamilifu moja ya madhara yake ni mahusiano kuvunjika 💔na moja ya hatua hizo ambayo sasa hivi inarukwa sana ni hatua ya uchumba mahala pa kuboreshana na kuonyeshana tabia za asili. Bahati mbaya mahusiano mengi hayana hatua hii, watu wanaoana wakiwa bado kwenye hatua ya wapenzi hivyo wakifika ndani ya ndoa, gomvi ni nyingi sababu wote hawakujiandaa na tabia za asili za mwenza wake. Ni jambo la msingi kuzitambua, ndani ya kitabu hiki nimekuandikia hatua zote kwa utuo na maelezo zaidi ili uelewe ni wapi hasa panapokuangusha na hatua gani ilirukwa ama mahusiano yako yako hatua gani kisha ujifunze maana ya kila hatua ili ipite kwe kuelewa sio kwa kukisia. 📕Kitabu kinapatikana katika nakala aina mbili,  🗣️nakala ya sauti - Tshs 25000 na  📕nakala ngumu - Tshs 20,000  Ili kukipata kitabu hiki fuata link...

Tofauti ya kupenda kati ya mwanamke na mwanamme

Image
Tofauti ya kupenda kati ya mwanamke na mwanamme. Watu wengi kwenye mahusiano huchanganya kipi kinahitajika wapi na kipi kinawekwa wapi,ugomvi na kutokuelewana vinachukua sana nafasi sababu kila mtu hajui anakosea wapi na anajiona yuko sahihi. Iko hivi utambue leo. Mwanaume maisha yake yote hahitaji kupendwa,uhitaji wake mkubwa kwenye mahusiano sio kuonyeshwa anapendwa ama kufanyiwa vitu vya kudhihirisha upendo wako,atavichukulia kawaida wakati wewe umevichukulia pakubwa sana na utalalamika hupendwi,kumbe umemkosea hitaji la mwanaume kwenye mahusiano ni "Heshima" mwanaume anahitaji kuheshimiwa tu,ukimuheshimu kwake ni tafsiri ya unampenda ndio maana ili kumlegeza mwanamme na kukupa unachotaka mwanamke akishusha sauti na akaongea kwa upole,ustaarabu na utii mwanaume hufanya kile mwanamke anachokitaka sababu ameonyesha heshima,hivyo mwanamke usipambane kuonyesha unampenda ila onyesha unamheshimu. Lakini hali iko tofauti pia kwa mwanamke yeye anapenda kwa hisia na kudhahania,...