Posts

Showing posts with the label elimu

TAMBUA : BIASHARA NI RAHISI KUIFANYA KWA KUFIKIRI ZAIDI YA UHALISIA WAKE

Image
Wapo watu wengi waliofeli kwa changamoto ya kuifanya biashara kwa kichwa zaidi ya uhalisia wake, yako mambo mengi ya kufahamu kuhusu biashara lakini la kwanza katika yote ni kutambua uhalisia wa biashara kwa kuwa na taarifa sahihi na sio maelelzo ya kufikirika. UTAFELI VIBAYA kwa kutegemea taarifa za kufikirika. Niambie ulijaribu biashara gani kwa kufikiri na uhalisia wake ukakukataa? Ikiwa unahitaji ushauri ama usimamizi bora wa biashara yako wasiliana nami sasa : 0745 108010 ——————————- Mahusiano ndio msingi mama wa mafanikio yetu kila linalofanyika liko chini ya kiwango sahihi cha mahusiano, unaifahamu Saikolojia ya Mahusiano?, Kama bado tayari nimekuandikia kitabu ambacho kitakuongoza kujenga ufahamu chanya wa nini maana na saikolojia ya mahusiano kwako na kizazi chako. Jipatie leo nakala yako kwa Tshs 20,000/= nakala ngumu na Tshs. 25000/= nakala ya sauti. Kukipata wasiliana nami leo  0745108010 #echumaarifa #ujasiriamali #maisha #daressalaam #elishachuma

Matumizi sahihi ya elimu yako.

Image
Kwanza kabisa ni jambo la msingi kutambua na kuiondoa dhana ya kuwa mjinga ni tusi,ama kushushwa hadhi HAPANA. Mjinga ni mtu asiekuwa na uelewa wa kitu ama jambo fulani,hivyo ifike mahala izoeleke tu kuwa wewe ni mjinga wa kitu fulani  na isiwe ni tusi ama udharirishaji kwako. Lakini dhima ya bandiko hili iko kwenye muktadha wa matumizi ya elimu zetu kwa manufaa ya baadae,tumepita kwenye kipindi ambacho dhana kuu ya elimu ilikuwa ni kusema umesoma chuo ama sehemu fulani na uko na vyeti vingi,kipindi hiki kimetuathiri kwa kiasi fulani kwani kimetengeneza wahitimu wengi wenye vyeti lakini hawana uwezo sokoni. Lilipokuwa tatizo tena wakaanza kulalamika wazee wameshikilia nafasi za ajira zao hivyo hawawezi kuajiriwa, lakini swali ambalo hawakujiuliza ni kwanini hadi leo bado hawana kazi lakini wana elimu, na Je ni kweli kuwa bila kuajiriwa elimu yako haina kazi?. Watu wengi tunajisahau sana na kuacha kutumia elimu ila tunakimbilia makaratasi,mabadiliko ya kipato yanaanza na mbadiliko y...