Vitu vinavyofanya Brand ya kawaida kuwa brand kubwa na bora
Vitu vinavyofanya
brand ya kawaida kuwa brand kubwa na bora
- WAZO
Nyuma
ya kila brand nzuri lazima kuna mawazo mazuri ambayo hutumika kukamata hisia za
wateja na mawazo kwa kuhisi shida zao zitamalizwa hapo
- UPEKEE
Inatakiwa
ikutofautishe na brand nyingine kwenye sekta hiyo
- MVUTO
Brand
inatakiwa kuwa na mvuto kwa watu kuanzia nembo zake hadi kutamkwa kwake.Brand
bora huhakikisha wateja wake wanaelewa ahadi zake na kuvutiwa nazo.
- UWAJIBIKAJI
Wateja
wanahitaji kuamini na kuziona ahadi
zilizowekwa zinatendeka kama ilivyopangwa na zinawafikia kwa muda sahihi.
- UIMARA
Wateja
huhitaji kuhudumiwa na brand iliyo imara ambayo haitalegalega kipindi
watakoihitaji.
- MAWAZO YA MUDA MREFU
Mawazo
ya muda mrefu huisaidia brand kujiimarisha na kujipanga vizuri kw a ajili ya
kufahamika na kuwatembelea wateja wake duniani
- UHALISIA
Brand
bora inatakiwa kuonyesha uhalisia , na inatakiwa kufikia kile ambacho watu
wanataka , inafanya kazi jinsi ambavyo waanataka .
Comments
Post a Comment