Posts

Showing posts from April, 2014

Aina tatu za imani zitakazokurudisha nyuma katika biashara yako

Biashara haiangalii unaamini kupitia nini,  biashara haiangalii wewe ni mkristo,mpagani muislamu au mhindu,lakini kuna imani ambazo biashara inakutengenezea na inataka ufanikiwe kupitia hizo, hivyo ilikufanikiwa katika biashara yako unatakiwa upitie ukipishana nazo lazima matokeo yake hayatakuwa mazuri. 1.Naweza kufanya kila kitu mwenyewe.  Hii inakuja   pale mtu anapoanza kujiona yeye ni mzuri na mwelevu wa kila kazi katika biashara yake , lakini ukweli ni hauwezi kufanya kazi zote , ufagie , uhasibu,afisa utumisishi, afisa rasilimali watu na hata masoko wewe mwenyewe? Ukweli ni kwamba hauwezi ukawa mzuri wa hizo kazi zote ni lazima utakuwa na sehemu yako ambayo unaweza kufanya vizuri zaidi ya nyingine ,   na kama unataka biashara yako ifanikiwe fanya anbacho biashara inataka tumia au fanya ambacho unaweza kukifanya vizuri zaidi usilazimishe kwa kutaka kuonekana unajua sana au unaweza kufanya kuliko wengine ila fanya kwa kuangalia ni kipi unaweza kukifanya vizuri zaidi ya

Vitu vinavyotengeneza biashara yenye afya

Image
Kuna vitu vitatu ambayo hutumika sambamba   ili kutengeneza brand yenye afya Logo - Nembo Nembo   ni alama maalum ya kwako peke yako inayokutambulisha sokoni na alama hiyo ndio Itakuwa inasimama kwa niaba ya kampuni yako , japo nembo (logo) imekuwa ni kitu cha kawaida kwa watu na wengi wanatengenezea mazoea kwa vile kuna fulani katengeneza au kampuni fulani au ukiwa na biashara fulani ni lazima uwe na nembo lakini ukweli na umuhimu uliopo ndani ya nembo ni mkubwa na zaidi inahitajika nembo hiyo itengenezwe maalum kama ambavyo nimeeleza hapo juu utakuta mtu anatengeneza nembo kwa kukopi nembo nyingine hii sio sahihi tengeneza kitu ambacho kitakuwa ni chenyewe na kitakacho kutambulisha wewe mwenyewe katika soko. Branding- kulijengea jina utambulisho Branding ni kutengeneza uaminifu na ahadi ya bidhaa yako kwenye akili ya mteja unaemtegemea Ambapo brand huunganishwa na bidhaa kwa mteja inatakiwa ulijengee jina la biashara yako utambulisho ambao hata mto

Jinsi ya kujibrand wewe mwenyewe

Katika matoleo yaliyopita nilielezea maana na faida za branding lakini leo nitaelezea kuhusu brand kwa maana au kwa nafasi ya mtu hivi ni baadhi ya vitu vinavyoijenga na kuitengeneza brand yako.   Kusikiliza Tengeneza maneno ya kuongea kulingana na rika Toa maoni mara nyingi kwenye mitandao ya jamii Sikiliza na wengine kwenye   eneo lako la ushindani Sikiliza viongozi   wa maeneo mengine na angalia ni vipi mawazo yao unaweza kuyatumia Usisahau podcast   Tovuti Unatakiwa uwe na blogu au tovuti Iwe na muonekano mzuri Ukurasa wa "about us" unatakiwa iwe ni wewe pamoja na biashara yako Isajili tovuti yako na sehemu zinazoshughulika na kutafuta url(top sites)   Pasipoti Fungua akaunti kwenye mitandao ya kijamii   Outpost( Muonekano wako kwenye mitandao ya kijamii) Hakikisha mtandao wako   unaotumia umeandikwa kwenye profile yako (linkeldin) Hakikisha kila mtandao wa kijamii uliojiu