Posts

Showing posts from February, 2018

Matumizi ya muda

Image
Muda ndio chanzo cha mafanikio yako, na jambo lolote ukitaka lifanikiwe lifanye kwa kuzingatia wakati,watu wengi wanashindwa kufikia malengo sababu hawauzingatii muda wao,wanaishi kwa kuzingatia pesa na sio muda wa kutafuta pesa matokeo yake anakuja kupata pesa lakini muda umemuacha ama hata kuzikosa.Matumizi ya muda wako ni ya muhimu sana sababu siku zote muda ndio unaotengeneza pesa hivyo usipoujali muda inamaana unapoteza pesa.KUWA MWANGALIFU PANGILIA MATUMIZI YA MUDA WAKO KUANZIA DAKIKA HADI MWAKA NA USIMAMIE MATUMIZI YAKE.UTAFANIKIWA.