Posts

Showing posts from August, 2019

Kwanini 40 ?

Image
Kwanini vitu vinaangukia siku ya 40 Muda na wakati unatupa mkono sana katika kuijua kweli na hii inasababishwa na vitu vingi mabadiliko ya uchumi,hali ya hewa,mitindo ya maisha,kuiga na vichocheo vingi vinatufanya tunabadilisha ile kweli kuwa kawaida, leo nitaongelea suala la kwanini mtoto anapozaliwa anatakiwa kuwekwa ndani kwa siku 40 ni kitu ambacho tumekikuta tumekirithi lakini tunakiacha, Je vizazi vyetu ama kizazi chako cha 4 kitafahamu kama kulikuwa na kuweka 40 kama kuanzia kwako haujaweka 40?. Historia,zama na ukweli vinatupeleka mbali sana lakini hii dhana ya 40 haijatumika kwa mtoto tu vipo vingi leo tutaangalia kwanini 40. Sasa basi katika   ulimwengu war oho kuna kitu kinaitwa Aura hiki kiko kwenye mwili wa hauwezi kukishika wala kukigusa ni kama tabaka lililopo juu ya mwili wako ambalo linakusaidia na kukukinga na nguvu za nje,mfano unaweza kutembea ukahisi mwili umesisimka ghafla tambua hapo aura yako imefanya kazi,ama umepima na unaumwa lakini hujanywa d

Namna bora ya kujitangaza

Image
Soko limebadilika sana kulinganisha na zamani watu wengi sasa hivi wameanza kutambua umuhimu wa kjitangaza na biashara nyingi sasa zinafanya branding(Chapa), kwa ajili ya kupata nafasi katika soko husika, lakini tunashida moja, hatujaweza kuwatumia washauri wa mambo ya biashara ipasavyo, tunapungua sana. Watu wengi wamekuwa na shida kuhusiana na jinsi ama namna bora ya kujitangaza sababu ya kutokutambua ni lini utangazaze, saa ngapi ? na nani anaetakiwa kuona na sio hivyo tu bali hata kwa njia gani.  Hali hii inachangiwa kwa namna moja ama nyingine na  mfumo wa biashara lakini pia kuna visababishi kama soko la utangazaji kukosa watu wengi wenye weledi wa jinsi ya kujitangaza lakini wateja kuwa na maamuzi zaidi ya kile ambacho soko linahitaji pia  matumizi ya wataalam na watoa ushauri kwa habari ya biashara na branding. Biashara nyingi zimejikuta zinafeli si kwasababu hazina bidhaa nzuri hapana ni kwa sababu hazijitangazi vizuri, sasa kuepuka hayo