Posts

Showing posts from November, 2016

Biashara hatua 6 za kukuongoza kutengeneza brand yako kwa kiwango ulichopo ( Sehemu ya 5)

5. Tengeneza brand ya promosheni Katika kazi zako zote usitake zote zitoke kwa pamoja ni lazima uchague moja ambayo itakutambulisha na ndio utakayoifanyia promosheni na matangazo sana,mara nyingi na imeshazoelekwa kwa nchi za kwetu huku kampuni moja kuwa na biashara zaidi ya moja yaani kuwa na vibali ama kutumia jina moja kufanya biashara ama kutoa huduma kwa kada zaidi ya moja, Mfano utakuta kampuni ni Nyarubamba Company na inahusika na Ushauri wa kifedha,usaili, na huduma za kibenki,hapo sasa kampuni ni moja lakini inafanya kazi 3 kwa wakati mmoja,sasa basi katika ulimwengu wa biashara kila tawi la hizo biashara ni biashara kamili hivyo ushauri wa kifedha ni biashara kamili, Usaili ni biashara kamili na pia huduma za kifedha ni biashara kamili kwa muonekano ni kama vile zote ziko kwenye mlengo mmoja wa fedha lakini zinatofautiana utendaji wake wa kazi, sasa basi unachotakiwa kufanya ni lazima uchague tawi moja ambalo utakuwa unalifanyia promosheni na sio yote, yaani u

Biashara hatua 6 za kukuongoza kutengeneza brand yako kwa kiwango ulichopo ( Sehemu ya 4)

4. Tengeneza vipengele 3 vya  brand vilivyobaki. Baada kuziangalia zile  hatua 3 hapo nyuma ukishazipitia zote sasa unaingia katika kutengeneza vipengele  3 vya brand vilivyosalia ambavyo ni Brand ya mtu, Brand ya bidhaa na brand ya mfumo.ili kuikamilisha Brand nzima kwa ufasaha ni lazima uwe umejitosheleza katika vipengele vyote vya Branding. sasa basi Brand ya mtu inawakilisha muonekano wako na jinsi unavyowahudumia wateja ambapo kila kitu unachokifanya unatakiwa utambue kinapokelewa kama ujumbe katika masikio na maisha ya watu,hivyo ni lazima wewe  mwenyewe ujibrand kufikisha ujumbe sawasawa na ahadi ya brand yako, kama brand inasema usafi na wewe ni lazima uwe msafi na kama brand inasema huduma bora ni lazima huduma bora ionekane kwako bidhaa haileti hivyo vyote,japo bidhaa ndio inakuwa na muonekano wa kumvutia lakini haiwezi kumuongelesha hivyo mteja akipenda lazima atawasiliana na wewe hapo ndipo brand ya mtu inapopata nafasi zaidi. Brand ya bidhaa hapa ni l