Matumizi ya muda


Muda ndio chanzo cha mafanikio yako, na jambo lolote ukitaka lifanikiwe lifanye kwa kuzingatia wakati,watu wengi wanashindwa kufikia malengo sababu hawauzingatii muda wao,wanaishi kwa kuzingatia pesa na sio muda wa kutafuta pesa matokeo yake anakuja kupata pesa lakini muda umemuacha ama hata kuzikosa.Matumizi ya muda wako ni ya muhimu sana sababu siku zote muda ndio unaotengeneza pesa hivyo usipoujali muda inamaana unapoteza pesa.KUWA MWANGALIFU PANGILIA MATUMIZI YA MUDA WAKO KUANZIA DAKIKA HADI MWAKA NA USIMAMIE MATUMIZI YAKE.UTAFANIKIWA.

Comments

Popular posts from this blog

Baadhi ya vitu vinavyosababisha biashara nyingi kufungwa.

Umuhimu na maana ya Logo( Nembo) katika biashara yako.

Aina za malengo na mipango