Semina


Elisha Chuma  ameandaa mpango kabambe wa ushauri wa biashara kwa wafanyabiashara wadogo wa kati na wakubwa na wale wanaotaka kuanzisha biashara ili kuwawezesha kuwa wafanyabiashara wakubwa na wenye mafanikio. Mtu atakakayejiunga na mpango huu atapewa mbinu za hali ya juu za biashara na uwekezaji ambazo zitamuwezesha kuinuka kiuchumi na kuwa mfanyabiashara mkubwa kwa haraka. Mtu yeyote anaweza kujiunga na mpango huu ambao mkataba wake utakuwa ni wa mwaka mmoja mmoja ambao unaweza kurudiwa tena.Kwa nini Elisha? Elimu ya biashara anayoitoa haipatikani sana hapa nchini japo mfumo wake wengi wanautumia. Kitabu chake cha Siri za kushinda katika biashara kupitia branding, kimewainua wajasiriamali wengi .


Manufaa ya kujiunga na mpango huu;

Utapewa mbinu za hali ya juu za biashara na uwekezaji ambazo zitakuwezesha kuinuka kiuchumi na kuwa mfanyabiashara mkubwa kwa haraka.


Utajiunga na mafunzo maalum ya ujasiriamali kwa email kipindi chote utakachokuwa umelipia michango.

Utapata ushauri kwa kipindi cha mwaka mmoja bila kulipia gharama yoyote na unaweza kumpigia simu mshauri wakati wowote na kupatiwa ushauri.

Utapata ushauri wa kisaikolojia na matatizo ya mahusiano na maisha yanayokukabili.

Gharama ya mpango huu ni Sh. 50,000.00 Elfu Hamsini tu kwa Mwaka, Malipo yake sio lazima kwa pamoja unaweza kulipa kwa awamu pia.  Ili kuomba kujiunga na mpango huu piga simu namba 0684 047323,0767 603699 au tuma email elishachuma@gmail.com

Nimeamua kutoa bei ndogo  kutokana na maombi ya wadau wengi kuutaka mpango huu kwa gharama ambazo wanaweza kuzimudu.

Elisha Chuma

MSHAURI WA BIASHARA

Comments

  1. Nimepokea maswali ya wajasiriamali na wafanyabiashara wanaohitaji kujua semina hii itaanza lini,na utaratibu wa malipo utakuwaje

    Semina itaanza rasmi : 1/3/2014
    lakini haitakuwa na shida hata kwa uliyechelewa ukijiunga utatumiwa mada zilizopita na maelezo ya wenzako walipofikia.

    Utaratibu wa malipo ni unatuma pesa kupitia simu ya mkononi kwenda namba 0684 047323 na ile namba ya muamala utakayopewa utaituma tena kwenda namba hiyo hiyo pamoja na email yako kisha utapokea meseji yenye id yako kwa ujumbe wa meseji pamoja na email hapo tayari utakuwa umeunganishwa na huduma hii.

    Asanteni na karibuni sana

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

Baadhi ya vitu vinavyosababisha biashara nyingi kufungwa.

Umuhimu na maana ya Logo( Nembo) katika biashara yako.

Aina za malengo na mipango