HUDUMA ZETU
Elisha Chuma
Shughuli ninazozifanya ni pamoja na kuelimisha kuhusu branding,Biashara na ujasiriamali kwa ujumla,Pia ninatengeneza muongozo wa biashara kwa upande wa mbinu za kupambana na washindani, aina za washindani wako, jinsi gani utawashinda, mpangilio wa kufuata ili biashara yako iwe na mafanikio na ushauri wa kibiashara.
Karibu kwa ushauri na maendeleo ya biashara yako,kwa walioko mikoani pia kuna utaratibu wa kuwafikia tafadhali tumia njia za mawasiliano hapa chini.
Mawasiliano:
elishachuma@gmail.com
0713 603 699
Comments
Post a Comment