Vitu vinavyoenda sambamba katika brand
Kuna
vitu vitatu ambayo hutumika sambamba ili
kutengeneza brand yenye afya
1.
Logo - Nembo
Nembo ni alama maalum ya kwako peke yako
inayokutambulisha sokoni na alama hiyo ndio
Itakuwa inasimama
kwa niaba ya kampuni yako
2.
Branding- kulijengea jina utambulisho
Branding ni
kutengeneza uaminifu na ahadi ya bidhaa yako kwenye akili ya mteja unaemtegemea
Ambapo brand
huunganishwa na bidhaa kwa mteja .
3.
Identity - utambulisho (
marketing,advertising,publication,sales)
Hii inamaanisha
aina ya utambulisho utakaotumia kujitambulisha, unaweza kujitambulisha kama
expert
Kujitambulisha kama
mzoefu kujitambulisha kwa aina ambayo wewe itakupa ahueni na upenyo kwenye soko
ulilopo.
4.
Kutokubadilika
Moja ya vitu ambavyo vinatakiwa viangaliwe kwa umakini moja wapo ni kutokubadilika, brand inatengenezwa na utofauti wako katika eneo lako la ushindani hivyo kubadilika badilika ni kupotea uhalisia na uwezo wako wa ushindani kama biashara unatakiwa kutokubadilika ili kusimamia brand na ahadi uliyoiweka kwa wateja na wateja watarajiwa.
Moja ya vitu ambavyo vinatakiwa viangaliwe kwa umakini moja wapo ni kutokubadilika, brand inatengenezwa na utofauti wako katika eneo lako la ushindani hivyo kubadilika badilika ni kupotea uhalisia na uwezo wako wa ushindani kama biashara unatakiwa kutokubadilika ili kusimamia brand na ahadi uliyoiweka kwa wateja na wateja watarajiwa.
Comments
Post a Comment