IPENDE BIASHARA YAKO
Hakuna kitu kizuri kama kuitangaza biashara yako kitaalamu na kwa mvuto
zaidi, biashara zote zinalipa ila inategemeana na unaipenda biashara
yako kiasi gani, tujenge mazoea ya kurudisha kwa ajili ya biashara
mfano, unapotangaza viatu,mafuta ama nguo hata kama sio vya kwako ila
ukitengeneza na nembo yako ukawa kila unachopost kinakuwa nayo
hautengenezi muonekano tu bali unatengeneza na hadhi pia, asilimia kubwa
ya biashara tuzifanye kwa ajili ya vizazi vijavyo pia bila kuwa na
msingi hata wa muonekano biashara inamaanisha ukichoka na yenyewe
inachoka lakini kukiwa na msingi hata wa page rasmi ya bidhaa ni rahisi
kuendelezwa,pia inapoteza uzito unapotangaza unauza kitu mathalani cha
laki 1,2 hadi milioni ila umekipiga picha tu na simu yako hata
hakionekani vizuri,tengeneza muonekano wa biashara yako leo ili
ujisaidie mwenyewe na vizazi vijavyo.
Tengeneza nembo yako vizuri iwe na muonekano thabiti ili ikidhi vigezo za kada yako,dizaini mtindo ambao utautumia kujitangaza ama kukutambulisha unaweza kutumia wa aina moja ama kujitofautisha kila mara, tengeneza utaratibu wa kujitangaza kuanzia muda hadi jinsi halafu anza kufanya matangazo usiyawahishe mafanikio usitafute kupata wateja ndani ya siku ama wiki tegemea branding inachukua muda kuanza kupata wateja inamanisha tayari umeanza kuaminika hivyo inaweza kuchukua muda lakini usichoke fanya na kufanya mwisho wa siku itakuwa sawa.
Nawashauri wote ambao bado wanafanya biashara zao kizamani ni muda wa kuamka sasa anza kwa kimoja baada ya kingine utafika tu,jibrand kwa kiwango ulichopo.
Nimetoa kitabu chenye muongozo wa kwanza kuhusu Biashara,Ujasiriamali na Branding, jipatie kitabu chako mapema ili ufunguke zaidi,kitabu kinapatikana online katika mfumo wa PDF ili kukipata wasiliana na namba 0684047323. Asante
Tengeneza nembo yako vizuri iwe na muonekano thabiti ili ikidhi vigezo za kada yako,dizaini mtindo ambao utautumia kujitangaza ama kukutambulisha unaweza kutumia wa aina moja ama kujitofautisha kila mara, tengeneza utaratibu wa kujitangaza kuanzia muda hadi jinsi halafu anza kufanya matangazo usiyawahishe mafanikio usitafute kupata wateja ndani ya siku ama wiki tegemea branding inachukua muda kuanza kupata wateja inamanisha tayari umeanza kuaminika hivyo inaweza kuchukua muda lakini usichoke fanya na kufanya mwisho wa siku itakuwa sawa.
Nawashauri wote ambao bado wanafanya biashara zao kizamani ni muda wa kuamka sasa anza kwa kimoja baada ya kingine utafika tu,jibrand kwa kiwango ulichopo.
Nimetoa kitabu chenye muongozo wa kwanza kuhusu Biashara,Ujasiriamali na Branding, jipatie kitabu chako mapema ili ufunguke zaidi,kitabu kinapatikana online katika mfumo wa PDF ili kukipata wasiliana na namba 0684047323. Asante
Comments
Post a Comment