IPENDE BIASHARA YAKO

Tengeneza nembo yako vizuri iwe na muonekano thabiti ili ikidhi vigezo za kada yako,dizaini mtindo ambao utautumia kujitangaza ama kukutambulisha unaweza kutumia wa aina moja ama kujitofautisha kila mara, tengeneza utaratibu wa kujitangaza kuanzia muda hadi jinsi halafu anza kufanya matangazo usiyawahishe mafanikio usitafute kupata wateja ndani ya siku ama wiki tegemea branding inachukua muda kuanza kupata wateja inamanisha tayari umeanza kuaminika hivyo inaweza kuchukua muda lakini usichoke fanya na kufanya mwisho wa siku itakuwa sawa.
Nawashauri wote ambao bado wanafanya biashara zao kizamani ni muda wa kuamka sasa anza kwa kimoja baada ya kingine utafika tu,jibrand kwa kiwango ulichopo.
Nimetoa kitabu chenye muongozo wa kwanza kuhusu Biashara,Ujasiriamali na Branding, jipatie kitabu chako mapema ili ufunguke zaidi,kitabu kinapatikana online katika mfumo wa PDF ili kukipata wasiliana na namba 0684047323. Asante
Comments
Post a Comment