Tofauti kati ya mfanyabiashara na mjasiriamali (Jitambue)
- Tofauti kati ya ujasiriamali na ufanyabiashara
Ujasiriamali
unaweza kuipata maana yake halisi kwenye
Jina
lenyewe ujasiriamali ( ujasiri kwenye mali) hivyo ili
Kuwa
mjasiriamali lazima uwe jasili na mwenye
uwezo
Wa
kukubali matatizo na changamoto, uwe tayari kupoteza
Sasa
hivi kwa ajili ya mafanikio ya baadae.
Ukiwa
mjasiriamali faida za muda mfupi kwako huwa sio za muhimu sana na lengo
Kubwa
huwa ni kufikia malengo uliyoyapanga na kukamilisha ulichokifikiria
Watu
wengi hujiona ni wajasiriamali kwa vile tu huwa na uwezo wa kutatua matatizo
Ya
biashara yake kwa kutumia njia nyingine .
Mfano:
utakuta mtu anafanya kazi ameamua kuanzisha biashara yake pembeni ya kazi
Anayoifanya
ambapo inafikia hatua anapata hasara au bashara hailipi kwa muda husika
Anachoamua
kufanya ni anachukua fedha kutoka sehemu anakofanyia kazi anaziba pengo
Lililopo
kisha anaendelea na biashara, huyu anaweza kujiona ni mjasiriamali lakini sio
Huyu
ni mfanyabiashara .
Unapokuwa
mjasiriamali ikitokea kuna kitu kimegoma au mambo hayaendi kwa mjasiriamali
Huwa
hakuna njia za pembeni ila ndani ya tatizo huwa kuna suluhisho mfano: umeamua
kuwa
Mjasiriamali
mkulima umelima na umevuna sasa imefikia kipindi cha kwenda kuuza na hauna
Fedha
za kusafirisha mazao yako, unaweza kwenda kwa watu wanaohusika na
usafirishaji wa
Mazao
na kufanya nao makubaliano kwa aidha ukimaliza kuuza uwalipe au wachukue kiasi
fulani
Cha
mazao yale.
Tofuti
iliyopo kati ya mfano wa kwanza na wa pili ni kwamba wa kwanza ametumia fedha nyingine
Kumaliza
tatizo la sehemu nyingine hivyo kwake hawezi kujua ugumu na jinsi ya kutatua
matatizo
Zaidi
ni itakuwa anajua namna ya kumaliza tatizo kwa
kutumia sehemu nyingine lakini wa pili
Ametumia
kile kile anachokiamini kinamletea faida na anauhakika nacho kutatua matatizo
Ya
muendelezo wake.
Mfanyabiashara
ni yule ambae anatafuta faida ya kile anachokifanya kwa muda ule ule
Anapotoa
anauza anahitaji apate faida aendelee na biashara yake ila hayuko tayari
kupokea
Hasara
na yeye hayuko tayari kupokea hasara, iwapo itatokea ni rahisi kwa yeye
kubadilisha
Biashara
ilimradi iwe inafaida tu.
lengo kuu ya biashara ni kuuza na kununua kukiwa na faida ndani
Yake
ambapo faida kidogo inabaki yako na
nyingine unaongezea kwenye
Mtaji.
Lakini ujasiria mali lengo kuu lake ni kufanya unalofanya kwa manufaa ya baadae
Na
ukiwa na uaminifu wa asilimia kubwa kwa unachokifanya hata kama haikupi
Faida
kwa muda huo.
Nafikiri
ifike hatua sasa watu wajitambue na pia watembelee njia zinzoendana na asili
yao, jitambue
Ni
mjasiriamali au mfanyabishara ili uwe kama asili yako inavyotaka uwe ukiwa
mfanya biashara ukajilazimisha
Kuwa
mjasiriamali ni lazima utafeli na ukiwa mjasiriamali ukijilazimisha kuwa
mfanyabiashara hautafanikiwa .
Ashante kwa ufafanuzi, sasa nimeelewa maana ya mfanyabiashara na mjasiriamali
ReplyDelete