Logo ni alama au nembo iliyodizainiwa mahsusi kwa ajili ya biashara yako, inayotumika kukutambulisha nje na ndani ya ofisi. Au Logo ni alama au nembo inayotumika kutambulisha huduma,bidhaa,kampuni au mfumo wowote wa vikundi. Logo au nembo inamaanisha vitu vingi kuhusu biashara yako kulingana na muonekano wake , biashara nyingi sana utambulisho wake hupatikana kwanza kwenye logo,matangazo mengi hulenga watu kukumbuka lengo na logo ya biashara. Logo ndio kitu ambacho mtu hufikiria anaposikia jina la kampuni au biashara yako. Mfano: Unaposikia jina Cocacola, Azam,TBS,Vodacom,Legacy,Pepsi, kitu cha kwanza kitakachokuja kwenye kichwa chako ni logo ya kampuni kisha ma tangazo uliyokwisha kuyasikia au kuyaona kuhusiana na huduma au bidhaa zao huanza kujirudia kichwani.hivyo Hivyo logo ni ya muhimu sana kwa maendeleo au mafanikio ya biashara yako.Chini hapa ni baadhi ya mambo ambayo Logo huwakilisha kwa wakati mmoja pindi inapoonekana. 1.Humpa mt
Comments
Post a Comment